ROONEY KUVAA JEZI NAMBA 23 CHELSEA

Wayne Rooney tayari ametayarishiwa namba ya jezi Chelsea, limeandika gazeti la the Daily Star. Gazeti limedai kwamba straika huyo wa Manchester United atatinga namba 23 - yenye hadhi kubwa iliyofanywa maarufu na staa wa mpira wa kikapu Michael Jordan, kama atajiunga na the Blues. Ingawaje the Daily Mirror limeripoti kwamba Chelsea wana uhakika watampata Rooney kabla dirisha la usajili kufungwa na, kama magazeti mengine yalivyoandika, yakumnukuu Jose Mourinho kusema watu wape watulivu kuhusu windo lake hilo.

Vyanzo - (Star) & (Mirror).

Subscribe

Flickr