Inasemekana kulikuwepo na majeruhi zaidi ya 160 huku watu wengine 0 wakifariki dunia.
Pamoja na kuripotiwa kufanya kitendo hicho, nyota huyo wa Real Madrid alitumia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter kutoa pole kwa wahanga wa ajali hiyo
Aliandika
“Ninaungana na ndugu jamaa na marafiki wa wahanga wa ajali na nawaomba watu wengine mkasaidie majeruhi wa ajali hiyo. #animogalicia”
SOURCE SHAFFIDAUDA.COM